KIKAO CHA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Xavier Daudi (kushoto) akizungumza na watumishi wa Sekretarieti hiyo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma. Kulia ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasimimali watu Bibi Victroria Fovo.
Baadhi ya wakuu wa Idara wakinukuu hoja na maoni ya watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakati wa kikao kati ya Katibu wa Sekretarieti hiyo na Watumishi ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma.
Baadhi ya watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakisikiliza ufafanuzi kutoka kwa Katibu wa Sekretarieti hiyo Bw. Xavier Daudi (hayupo pichani) baada ya kuwasilisha maoni na ushauri kuhusiana na utendaji kazi wa taasisi hiyo.
No comments:
Post a Comment